• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAISI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Mwelekeo
  • Huduma Zetu
    • Soko la Jumla na Rejareja
    • Huduma ya Upangishaji
    • Upatikanaji vifaa vya kilimo
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya picha
  • Wasiliana
  • Machapisho

Upatikanaji bidhaa za kilimo

Biashara nyingine ambazo hufanyika katika Soko Kuu la Kariakoo

Mbali na biashara za Mazao ya vyakula mbalimbali Sokoni Kariakaoo pia kunafanyika biashara za vifaa vya Kilimo ( Agricultural Inputs). Miongoni mwa vifaa hivi vya kilimo ni pamoja na madawa mbalimbali ya kuulia wadudu mashambani(Viwatilifu), mashine za aina mbalimbali za kuvuta maji kwa ajili ya umwagiliaji, majembe na zana nyinginezo. Aidha yapo maduka yanayouza madawa mbalimbali kwa ajili ya mifugo mbalimbali, kama vile ng’ombe, mbuzi, kuku, mbwa na wanyama wengine. Bidhaa hizi zote hupatikana kwa bei ya jumla na rejareja kwa wanaohitaji.

Matangazo

  • Usajili wa wafanyabiashara January 07, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Semina elekezi

    January 23, 2019
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Nyamwezi/Mkunguni , Swahili/Tandamti, Nyamwezi/Tandamti

    Anuani ya posta: P.O.Box 15789 Dar es Salaam Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2019 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.