TAUSI ni mfumo wa kielektroniki unaosimamiwa na Ofisi ya Rais - TAMISEMI na unaotumika kukusanya mapato ya ndani ya Shirika la Masoko ya Kariakoo na Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara. Shirika la Masoko ya Kariakoo ni mojawapo ya Taasisi sita (6) zinazosimamiwa na Ofisi ya Rais – TAMISEMI.
Anuani: www.tausi.tamisemi.go.tz
Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.