• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Mafunzo ya TAUSI kwa Wafanyabiashara Soko la Kariakoo

Posted on: March 12th, 2025


Shirika la Masoko ya Kariakoo limechukua hatua muhimu kuelekea ufunguzi na urejeshaji wa biashara katika soko jipya la Kariakoo ambapo limetoa mafunzo kwa wafanyabiashara kuhusu mfumo wa kielektroniki wa TAUSI, udhibiti wa majanga, elimu ya bima, na fursa za mikopo ya biashara.

Kaimu Meneja Mkuu wa Shirika Mary Maridadi akifungua mafunzo hayo ya siku mbili (Machi 10,2025) Msimbazi, Dar es Salaam alisema lengo la mafunzo ni kuwawezesha wafanyabiashara kuelewa na kutumia mfumo wa kielektroniki wa TAUSI na pia kuandaa wafanyabiashara kwa ufunguzi wa soko na kurejesha biashara.

Akizungmza kuhusu Mfumo wa TAUSI Afisa TEHAMA wa Shirika Emmanuel Mjunguli alieleza kuwa mfumo huo ni mfumo rafiki unaowaruhusu wafanyabiashara kujisajili, kupata maeneo ya biashara, na kupata hati za malipo kwa urahisi.

Mjunguli aliongeza kusema wafanyabiashara wanaweza kujiunga na mfumo kupitia tovuti https://tausi.tamisemi.go.tz ambapo alitaja wanahitajika kuwa na namba ya kitambulisho cha Taifa na namba ya mlipa kodi (TIN).

Ramadhani Mtengule ni mfanyabiashara aliyeshiriki mafunzo hayo ambapo alionesha kufurahishwa na mafunzo hayo na kwamba yanatoa matumaini ya kurejea sokoni na kuendelea na biashara zao kwa tija.

Mafunzo yalihusisha watoa mada kutoka Mamlaka ya Mapato (TRA), Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Benki za TCB na NBC, na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na yalilenga kuwafikia wafanyabiashara 1,520 watakaorejeshwa sokoni awamu ya kwanza.

Mwisho

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO, SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI JESHI LA POLISI WAKUTANA KUJADILI MIKAKATI YA ULINZI SOKO LA KARIAKOO.

    January 09, 2026
  • WATUMISHI WA WASHIRIKA LA MASOKO WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA E-MREJESHO.

    January 08, 2026
  • SOKO LA KARIAKOO LATENGA VYUMBA MAALUM VYAA KUNYONYESHA KWA WAKINA MAMA.

    December 30, 2025
  • UKARABATI NA UJENZI WA SOKO LA KARIAKOO WAFIKIA ASILIMIA 99, TAYARI KWA KUFUNGULIWA.

    December 24, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.